19 Machi 2011 - 20:30
Msimbo wa Habari: 293506
Kuzidi kuvamia vikosi vya usalama vya utawala wa kidikteta wa Bahrain dhidi ya Wanawake, Vijana wa Nchi hiyo wameanza kujihami dhidi ya vikosi vya usalama vya utawala wa Alikhalifa na kusababisha khasara katika Mikoa ya Satrah na Akr dhidi ya vikosi vya usalama.